OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOMBE
Kumb. Na. BDC/E.40/7/95 23 JUNI, 2025
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe amepokea kibali cha Ajira mpya
kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb.Na. FA.97/228/01/A/25 cha
tarehe 29.04.2025. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma
maombi kwa kada Tatu (03) kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa: –